Tuesday, June 30, 2009

L

Lugha ya kuazima haimjengi Mwafrika.
Lugha kipimo cha akili. [Ikisemwa na kutumika katika shughuli kwa asilimia 5 ya watu nchini na nchi nayo ina akili asilimia 5 tu. Ikisemwa na kutumika katika shughuli kwa asilimia 95 ya watu na nchi nayo inakuwa ina akili asilimia 95.]

No comments:

Post a Comment