Tuesday, June 30, 2009

M

Mali na wana mtihani.
Mmoja tajiri, wengi kampuni.
Mvaa mbili havai moja.
Maiti si bora kuliko mgonjwa.
Mfu kamzikeni, mgonjwa wangu.
Mpende akiwa hai sio akiwa maiti.
Mtanzania haishi atakavyo bali awezavyo!

No comments:

Post a Comment